Saraha atua TZ kufanya kweli

msanii wa bongofleva mwenye makazi yake nchini sweden Saraha

Msanii wa miondoko ya bongofleva nchini mwanadada Saraha ambaye alikuwa nchini Sweden-Stockholm akiandaa kazi zake mpya za muziki hivi sasa ametua nchini Tanzania tayari kwa ajili ya shoo ya project yake mpya iliyobatizwa jina 'Come Together'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS