Rais Kikwete aongoza mamia kumuaga Komba

Rais Kikwete akiaga mwili wa Marehemu Kapteni Komba leo

Rais Jakaya Kikwete leo amewaongoza viongozi wa serikali, viongozi wa kisiasa na mamia ya watanzania waliojitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi Kapteni John Komba katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Saalam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS