Mvua kubwa yaua watu 22 Nepal

Katika mji mkuu wa Kathmandu wenye vilima, mito kadhaa imefurika na kuziba nyumba nyingi, na kukata mawasiliano baina ya mji mkuu huo na nchi nzima kwa upande wa barabara.Watu watatu waliuawa kusini mwa Nepal baada ya kupigwa na radi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS