Tanzania haijafanya kosa lolote - Balozi Kombo

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka wazi msimamo wake kuhusu hali ya kisiasa nchini, ikisisitiza kuwa hakuna sheria yoyote iliyovunjwa katika utekelezaji wa majukumu yake kama taifa huru linalozingatia utawala wa sheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS