Mshambuliaji hatari wa Tanzania Prisons Mohamed Mkopi pichani kushoto mwenye mpira.
Kikosi cha cha kwanza cha mabingwa wa ngao ya jamii timu ya Dar es salaam Yanga Afrikans.
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk