Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitundika mzinga wa nyuki wakati alipotembelea kikundi cha hifadhi ya misitu na ufugaji nyuki cha Kambi ya Nduta.
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.