
Mtangazaji wa East Africa TV na Balozi wa Kampeni ya Namthamini, Najma Paul akiongea na wanafunzi wa shule ya Sekondari Uwemba.

Mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul akifurahi na wanafunzi wa Masasi baada ya kumaliza kugawa taulo za kike katika shule hiyo.

Mkurugenzi Mkuu wa TEA, Bahati Geuzye akikabidhi taulo za kike kwa Meneja Mahusiano wa IPP, Nancy Mwanyika.

Wa pili kutoka kushoto Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe Dustan Komba akipokea taulo za kike kutoka kwa wafanyakazi wa East Africa TV na East Africa Radio.

Kutoka kushoto mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul akifuatiwa na Irene Peter ambaye ni Meneja wa huduma za jamii wa NBC akikabidhi taulo za kike kwa Meneja Mahuasiano wa IPP, Nancy Mwanyika na mwisho ni Justine Kessy mtangazaji wa East Africa Radio.

Wawakilishi wa kampuni ya QiPads wakiwa katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.

Wafanyakazi wa SBT wakikabidhi taulo za kike katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.

Mhe. Neema Lugangira akiwa studio za East Africa Radio.

Askofu Subira Mitimingi akizungumza na East Africa TV siku ya leo

Mkuu wa Idara ya Michezo East Africa TV na East Africa Radio, David Kampista (kushoto) akipokea mchango wa taulo za kike kutoka kwa Melkczedeck Bruno.

Mwasiti akiongea kwenye kipindi cha Mama Mia cha East Africa Radio siku ya leo.

Dkt Ibrahimu akikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul.

Dkt Ibrahimu Ibrahimu akikabidhi taulo za kike Kwa Mratibu wa Kampeni ya Namthamini, Evelyne Ngalo.

Rais wa Rotary Kimataifa, Shekhar Mehta (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa IPP, Bw. Abdiel Mengi (kulia) ndani ya ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.

kutoka kushoto Mkutubi wa chuo cha KITM, Dorotea Tobias na Mkuu wa chuo hicho Ahmed Mbezi wakikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Mwanne Othman.