Mama Salma Kikwete akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Ndugu Halima Dendegu (kushoto) na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkomaindo Dkt. Musa Rashid
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.