Wachezaji wa timu za Yanga na Azam wakichuana katika moja ya michezo iliyozihusisha timu hizo.

23 Mar . 2016

Baadhi ya wachezaji wa mpira wa wavu wakichuana katika moja ya michezo yao ya ligi ya mkoa.

22 Mar . 2016

Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanaokipiga na timu ya TP Mazembe ya DR. Congo.

13 Dec . 2015

Kikosi cha Yanga ambacho kitaiwakilisha Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika mwakani.

12 Dec . 2015

Kikosi kamili cha azam fc ambacho hii leo kimekwea pipa kuelekea Kigali Rwanda.

7 Aug . 2014

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Azam FC.

10 Jul . 2014

Mabondia wakichuana katika moja ya michuano ya ngumi Temeke.

26 Jun . 2014