Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk. John Haule akiwa pamoja na wachezaji na viongozi wa timu ya Taifa Stars.

28 Mei . 2016

Kikosi cha timu ya soka ya Serengeti Boys.

28 Mei . 2016

Kocha Mkwasa akiwa na makocha wenzake na baadhi ya wachezaji wa Stars jijini Nairobi.

28 Mei . 2016

Mshambuliji Mbwana Samatta akiwajibika katika mchezo dhidi ya Sporting Charleroi.

28 Mei . 2016

Viongozi wa kamati ya ufundi ya Mbeya City wakionyeshana baadhi ya vijana waliokuja kusaka nafasi katika timu hiyo.

26 Mei . 2016

Kikosi cha timu ya soka yaTaifa ya Tanzania [Taifa Stars].

26 Mei . 2016

Wachezaji wa timu za Mgambo JKT na African Sports wakichuana wakati timu hizo zilipokutana.

22 Mei . 2016

Beki wa kulia wa timu ya soka ya Yanga, Juma Abdul.

22 Mei . 2016

Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Gianni Infantino.

22 Mei . 2016

Kikosi cha wagonga nyundo wa Jiji la Mbeya timu ya soka ya Mbeya City.

21 Mei . 2016

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwajibika uko nchini Ubelgiji.

20 Mei . 2016

Mchezaji kiraka Erasto Nyoni wa Azam Fc.

19 Mei . 2016

Mabondia Thomas Mashali [kulia] na Francis Miyeyusho wakiwa katika mazoezi ya pamoja.

16 Mei . 2016

Viongozi wa benchi la ufundi la Serengeti Boys Bakari Shime kocha mkuu [kulia], na Kim Palsen [kushoto] wakiwa na kiongozi wa TFF Baraka Kizuguto ][katikati]

16 Mei . 2016