Mkuu wa vipindi vya East Africa Radio Nasser Kingu (Kushoto) na mtangazaji wa EATV, Suzy, wakiendesha droo ya tatu kupanga ratiba ya michuano ya Sprite BBall Kings iliyofanyika usiku wa kuamkia leo.

20 Jun . 2017

Mchezaji wa Flying Dribbles (aliyovalia jezi ya blue) akiminyana na mchezaji wa UDSM

17 Jun . 2017

Wachezaji wa Mchenga team (wenye jezi za njano) wakiminyana na Ukonga Warriors (jezi nyeupe).

17 Jun . 2017

Timu za mashindano ya Sprite BBall Kings 2017 zikimenyana vilivyo

10 Jun . 2017

Meneja Masoko na Mauzo kutoka East Africa Television LTD, Roy Mbowe (Kulia) akiwa na Kamisaa kutoka FIBA, Wiliam Guard Mziray

6 Jun . 2017

UDSM walipotwaa point 42 kwa 5 dhidi ya Dandy

3 Jun . 2017

Wawakilishi wa timu shiriki wakishuhudia droo pamoja na kupata semina maalum kuelekea michuano hiyo

24 Mei . 2017

Kamishna wa ufundi na Uendeshaji mashindano wa Shirikisho la mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), Manasseh Zablon akiwa pamoja na Afisa masoko kutoka EATV na East Africa Radio, Basilisa Biseko

13 Mei . 2017
  •