Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi CCM, Mh Stephen Wassira.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016