William Mathias
Akizungumza na Kurasa ya EATV leo Jijini Dar es Salaam, William ambaye amefika kwa ajili ya matibabu amesema tatizo la kutoona limekuwa likimsumbua na kushindwa kukidhi mahitaji yake.
Tatizo hilo linalomkabili, limedumu kwa kipindi cha miaka 34 sasa, huku ndugu wanaomhudumia wakielezea changamoto nyingi ambazo wanapitia katika malezi yake.
Tazama hapa chini akizungumza.