
Ofisi ya Usalama wa Usafiri wa angani ya Australia (ATSB) imethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza kuwa uchunguzi wa kubaini chanzo chake umeanza
Idara ya polisi ya nchi hiyo imeeleza kuwa helikopta moja ilikuwa ikipaa na nyingine ilikuwa inajiandaa kutua