
Wachezaji wa Simba kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Asante Kotoko

Mkuu wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Lindi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Rajabu Nyange, akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (katikati), baada ya kupokea mashine 10 za kufyatulia tofali ambapo ni mpango maalumu wa serikali kuondoa changamoto za makazi ya askari magereza nchini. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Lindi,Shaibu Ndemanga.

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, Ramadhani Ng'azi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kulia)

Kamanda wa polisi mkoa wa Mtwara, Lucas Mkondya.
.jpg?itok=E2k-rscb×tamp=1533995961)
Madaktari wakimfanyia vipimo mchezaji wa timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania U17”Serengeti Boys” Ben Anthony Starkie anayecheza Leicester City U16 ya England.

Aliyekuwa naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi, (CUF) Julius Mtatiro.