Picha ya Producer Mesen Selekta
Mesen Selekta anasema muziki huo kwa pamoja utaitwa jina la kiduba na wasanii wengi watauimba kama alivyoanzisha ladha ya muziki wa singeli kwenye BongoFlava.
"Kuna project zangu nahitaji kuzileta ndio maana kuna ukimya nilikuwa nabuni aina ya muziki mwingine nataka kuuleta, ni taste ya muziki wa Tanzania kutoka makabila mawili kuna baikoko kutoka Tanga na kidumbaki kutoka Pemba Zanzibar" amesema Mesen Selekta
Zaidi tazama hapa kwenye video akizungumzia hilo.