Alhamisi , 22nd Dec , 2022

Staa wa mziki nchini Diamond Platnumz ame-make headlines mitandaoni baada ya kuachia kionjo cha wimbo wake mpya wa Chitaki akiimba watu wanazusha kutoka kimapenzi na Zuchu. 

Picha ya Diamond Platnumz katika kionjo kipya cha wimbo wake

Zaidi bonyeza hapa kuona mbwembwe za Diamond kwenye kionjo cha wimbo wake huo mpya akikana ku-date na Zuchu.