
Ibrahim Ajib akiwa Azam FC
Ibrahim Ajib alijiunga na Azam FC, Disemba 30, 2021 kwa mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwingine akitokea klabu ya Simba.
Tetesi pia zinaeleza kuwa mchezaji huyo ananukia kujiunga na klabu ya Singida Big Stars yenye maskani yake mkoani Singida.