
Kaimu Afisa abari wa klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga.

Mussa Nassibu Ismail (21), aliyehukumiwa kwenda jela miaka 80

Bayern Munich wakiwa wanashangilia ubingwa baada ya kubeba kombe la DFL Super Cup 2021 kufuatia ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Dormund usiku wa jana.

Nyota wa Philadelphia 76ers, Joel Embiid.

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Moses Machali

Nyota wa Juventus, Cristiano Ronaldo 'ÇR7' akishangilia baada ya kufunga moja ya bao kwenye mchezo wa Ligi kuu ya Italia msimu uliomalizika.

Kocha wa zamani wa Mtibwa Sugar, Zuberi Katwila katika moja ya mkutano wake na Waandishi wa Habari.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu uliopo Jijini Lilongwe nchini Malawi.

Kushoto ni Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima, na kulia ni Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima