
Kushoto ni Lumola Kahumbi na kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla.
Mama Nandy upande wa kushoto, Billnass na Nandy upande wa kulia
Msanii Lulu Diva na gari lake la Jeep

Aliyekua nahodha wa Yanga, Papi Kabamba Tshishimbi (Kulia katika picha), akimzuia kiungo machachari wa Simba Jonas Mkude (Kushoto Pichani) katika moja ya Dabi ya Ligi Kuu Tanzania Bara.

Watia nia wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Lazaro Nyalandu.

Kiungo wa klabu ya Simba Clatous Chama (Wa mbele katika picha) ,anayepewa kipaumbele cha kubeba tuzo ya kiungo na mchezaji bora.

Kocha wa zamani wa Yanga Luc Eymael