
Rais Samia Suluhu Hassan
AidhaRais Samia amemteua Said Masoro kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, ambaye kabla ya uteuzi huo alikuwa ni Naibu Mkurugenzi Mkuu na Mkurugenzi wa shughuli za ndani za idara hiyo
Katika hatua nyingine Rais Samia amemteua Dkt. Moses Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, akichukua nafasi ya Balozi Hussein Katanga, ambaye ameteuliwa kuwa Balozi wa kudumu wa UN jijini New York
Na mwisho Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Hussein Kattanga kuwa Balozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York, akichukua nafasi ya Profesa Kennedy Gastorn, ambaye amerudishwa nyumbani, kabla ya uteuzi huo alikuwa Katibu Mkuu Kiongozi.