Himid, Sure maingizo mapya Stars
Kikosi cha wachezaji 28 wanatarajiwa kuingia kambini Mei 28 kujiandaa na michezo ya kufuzu fainali za Mataifa Afrika (AFCON) 2023 nchini Ivory Coast huku viungo Himid Mao kutoka klabu ya Ghazi Mahl-Misri na Salum Abubakari ‘Sure Boy’ wa Yanga wakiwa ni miongoni mwa maingizo mapya Stars