Simba, Yanga zaondoka Dar es salaam baada ya dabi

Simba na Yanga zimeondoka Dar es salaam baada ya kucheza mchezo wa dabi ya Kariakoo Jumamosi Aprili 30. 2022.

Klabu za Karia Koo Simba na Yang azote zimeondoka Jijini Dar es salaam leo asubuhi Mei 2, 2022. Yanga imeemda mkoani Kigoma na SImba imeelekea mkoani Lindi, ikiwa ni maandalizi kuelekea michezo yao ya ligi Kuu inayofuata.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS