Tunataka amani sio vita- Shevchenko
Gwiji wa zamani wa klabu ya Ac Milan na timu ya taifa ya Ukraine Andriy Shevchenko ametoa ujumbe wa kusisitiza amani kwa nchi ya Ukraine kwenye mchezo wa nusu fainali ya kwanza wa kombe la Coppa Italia baina ya Ac Milan dhidi ya Inter Milan kwenye uwanja wa San Siro

