Tangazo la Burj Khalifa halijalipiwa - Msigwa

Kushoto ni picha ya Rais Samia iliyowekwa kwenye jengo la Burj Khalifa na kulia nai Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa.

Msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa, amesema kwamba serikali haijalipia kuweka tangazo la Tanzania katika jengo refu kuliko yote duniani la Burj Khalifa lililopo Dubai, bali limewekwa kuitangaza nchi kutokana na uhusiano mzuri uliopo na Umoja wa Falme za Kiarabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS