Askari aliyesambaa ameshika fedha matatani

Kushoto ni Askari anayefuatiliwa na kulia ni Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini SACP David Misime

Mara baada ya picha za askari wa usalama barabarani kusambaa mitandaoni zikimuonesha akiwa ameshika fedha zinazodaiwa kuwa ni za rushwa, Jeshi la Polisi nchini limesema kuwa ushahidi utakapopatikana hatua zitachukuliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS