Milan derby nusu fainali Copa Italia leo

(Mshambuliaji wa AC Milan Zlatan Ibrahimovic katika harakati za kuwahi mpira katika moja ya Milan Derby)

Mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya Copa Italia inachezwa leo usiku ukiwa ni mchezo wa mkondo wa kwanza ambapo AC Milan watakuwa wenyeji wa Inter Milan katika dimba la San Siro. Hii ni derby ya jiji la Milan ikiwa ni kwa mara ya 26 timu hizi zinakutana kwenye michuano hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS