Mwanafunzi avae hata sare ya S/Msingi- Waziri

Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu

Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu, ameendelea kusisitiza kwamba wakuu wa shule kutoweka vikwazo kwa wanafunzi wataokuwa hawana sare za shule badala yake wawaruhusu kuingia darasani hata na sare zao waliuzokuwa wanavaa shule ya msingi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS