Bondia Okolie atetea ubingwa wa WBO
Bondia Muingereza Lawrence Okolie ameutetea mkanda wake wa WBO cruiserweight baada ya kumchapa bondia Mpoland Michal Cieslak kwa ushindi wa alama kwa majaji wote watatu (Unanimous decision) mjini london nchini Uingereza kwenye ukumbi wa O2 Arena.

