Super Eagles wafanya mabadiliko kwenye kikosi chao Nigeria Super Eagles, wamefanya mabadiliko kwenye kikosi chao kuelekea Fainali za Mataifa ya Afrika ‘AFCON’ zitakazorindima nchini Cameroon kuanzia Januari 09 mwaka huu. Read more about Super Eagles wafanya mabadiliko kwenye kikosi chao