IPC yazifungia Urusi na Belarus Olympic 2022

Baadhi wa washiriki kutoka Urusi waliozuiliwa kushiriki michezo ya Paralympic 2022

Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki ya Walemavu (IPS) imezipiga marufuku nchi za Urusi na Belarus kushiriki kwenye michezo ya majira ya baridi ya Olimpiki ya Walemavu 2022 yanayotarajiwa kufunguliwa siku ya ijumaa March 4 na kumalizika mnamo March 13 mjini Beijing nchini China.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS