Walimu kutokuvaa suti yasaidia ujenzi wa madarasa

Mkuu wa wilaya ya Mbogwe, Mhandisi Charles Kabeho

Wakuu wa shule wilayani Mbogwe mkoani Geita ililazimika wapigwe marufuku kuvaa suti mpaka watakapokamilisha vyumba vya madarasa 75 katika shule 16 za sekondari ambapo kwa wilaya hiyo walipokea shilingi bilioni 1.5 na kubakisha chenji ya shilingi milioni 4.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS