Polisi waeleza sababu ya watuhumiwa kutamba mtaani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, Justine Masejo

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha Justine Masejo, amewataka wananchi kujitokeza mahakamani kutoa ushahidi ili kuepukana na changamoto ya kesi nyingi kuharibika kutokana na ushahidi kukosekana, kitendo ambacho kinapelekea watuhumiwa wanaokamatwa kuendelea kutamba mtaani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS