Samba ili msichana aolewe yapingwa Shinyanga

Wadau mbalimbali kwenye nkutano wa kujadili mila

Kutokana na kuwepo kwa baadhi ya mila na desturi zinazoendelea kuwa chanzo cha ukatili kwenye jamii, Wizara ya Afya imeanza mkakati wa kubaini mila na desturi zenye madhara ili kuziondoa kwa kushirikisha jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS