Ubadhirifu Fedha za Uviko-19  Geita 

Mkuu wa mkoa wa Geita Rosemary Senyamule

Mkuu wa mkoa wa Geita Rosemary Senyamule, amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri kuwachukulia hatua maafisa ugavi na wahandisi wanaosimamia ujenzi wa vyumba vya madarasa yanayotokana na fedha za Uviko 19 baada ya kuzidisha makadirio ya vifaa na kuanza kutafuta wateja wa kuvinunua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS