Mo Dewji atangaza kufuru Simba

Mwekezaji wa Simba, Mohamed Dewji

Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohamed Dewji ametangaza kuchangia kiasi cha Bilioni 2, ikiwa ni ya awali katika kuhakikisha Simba inajenga Uwanja wake ambao utatumika katika mashindano mbalimbali wanayoshiriki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS