Kyrie Irving kurejea NBA

(Nyota wa Brooklyn Nets, Kyrie Irving)

Nyota wa Brooklyn Nets, Kyrie Irving yu mbioni kurejea kwenye Ligi ya kikapu nchini Marekani NBA baada ya kuwa nje ya ligi hiyo tokea Oktoba mwaka huu kufuatia kugoma kupata chanjo ya Covid-19.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS