Simba SC wametua salama Niger, tayari kwa mchezo

Golikipa wa Simba Aishi Manula wakiwa uwanja wa ndege nchini Niger

Kikosi cha Simba SC kimefika salama nchini Niger leo jioni tayari kwa mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika dhidi ya wenyeji wao US Gendarmerie. Timu hizi mbili zitashuka dimbani kesho kuwania alama 3 katika muendelezo wa michezo ya hatua ya makundi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS