Mane na Salah kufanya kikao na Klopp
Nahodha wa timu ya Egypt, Mohammed Salah anataraji kujiunga na klabu yake ya Liverpool leo Februari 8, 2022 na kuna uwezekano mkubwa wa kuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kwwenye mchezo wa EPL dhidi ya Leicester City Alhamis ya Februari 10, 2022.

