Serikali yaagiza kuanza ujenzi madarasa nchi nzima

Picha ikiwaonesha wanafunzi kutoka moja ya shule nchini (picha na mtandao) kulia ni Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) David Silinde.

Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) David Silinde ameagiza Halmashauri zote nchini kuhakikisha hakuna mwanafunzi anayekaa chini kwa kukosa madawati au kusoma chini ya miti kwa upungufu wa madarasa na kuagiza ujenzi wa madarasa-

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS