Yanga yakomaa na Morrison
Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Fredrick Mwakalebela amethibitisha kuwa tayari klabu hiyo imeshafanya malipo kwa ajili ya kusikilizwa kwa kesi yao dhidi ya mchezaji Bernard Morrison kwenye mahakama ya usuluhishi wa michezo Duniani CAS.