Wachimbaji wadogo 8 wajeruhiwa, Buhemba Mara
Wachimbaji wadogo nane wajeruhiwa kwa silaha za jadi ikiwamo mapanga, visu pamoja na kujeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao katika machimbo ya dhabu ya Irasanilo, Buhemba yaliyopo wilayani Butiama mkoani Mara chanzo kikiwa ni kugombania maduara ya uchimbaji.