Wachimbaji wadogo 8 wajeruhiwa, Buhemba Mara

Moja ya eneo la mgodi wa Buhemba

Wachimbaji wadogo nane wajeruhiwa kwa silaha za jadi ikiwamo mapanga, visu pamoja na kujeruhiwa sehemu mbalimbali za miili yao katika machimbo ya dhabu ya Irasanilo, Buhemba yaliyopo wilayani Butiama mkoani Mara chanzo kikiwa ni kugombania maduara ya uchimbaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS