Nyumba ya Patrobas yanusurika kuchomwa moto

Mbunge mteule wa jimbo la Shinyanga Mjini Patrobas Katambi

Nyumba ya Mbunge mteule wa Jimbo la Shinyanga Patrobas Katambi wa Chama cha mapinduzi CCM imenusurika kuchomwa moto usiku wa kuamkia leo na watu wasiojulikana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS