Makocha kikapu Tanzania watupiwa lawama
Nyota wa timu ya Pazi iliyokua ikishiriki michuano ya klabu bingwa ya Taifa amesema mabingwa Kurasini Heat hawana ubavu wa kushindana na vilabu vingine Afrika kwakuwa makocha wanaowafundisha hawana mbinu za kiwango cha juu.