Upinzani kupoteza majimbo muhimu, inamaana gani?
Katika mwendelezo wa matokeo ya uchaguzi uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020, kumeshuhudiwa sura mpya kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM),katika majimbo yaliyoonekana na kuaminika kuwa ni ngome za vyama vya upinzani ikiwemo chama kikuu cha upinzani CHADEMA