Upinzani kupoteza majimbo muhimu, inamaana gani?

Kushoto ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, wa pili ni Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe.

Katika mwendelezo wa matokeo ya uchaguzi uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020, kumeshuhudiwa sura mpya kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM),katika majimbo yaliyoonekana na kuaminika kuwa ni ngome za vyama vya upinzani ikiwemo chama kikuu cha upinzani CHADEMA

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS