Maneno ya Bonnah baada ya kumdondosha Mrema
Mgombea ubunge wa Chama Cha Mapinduzi,(CCM), Bonnah Kamoli, kwa mara nyingine tena amefanikiwa kushinda nafasi ya ubunge katika jimbo la Segerea dhidi ya mpinzani wake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ,CHADEMA,John Mrema.