Je, historia imewabeba mawaziri wa JPM?

Pichani ni Wabunge wateule, kushoto ni Mh. Jenista Mhagama (Peramiho), Mh. Ummy Mwalimu (Tanga Mjini), kulia ni Mh Dkt Philip Mpango (Buhigwe).

Katika awamu yake ya kwanza Rais John Magufuli, aliunda Baraza lake la kwanza la Mawaziri tarehe 10 Desemba 2015 ambalo alilitangaza kwa awamu mbili huku likiwa na mawaziri 19 katika wizara 18 ambapo katika orodha hiyo hakuwa amezijaza nafasi nne za uwaziri ambazo alizijaza wiki mbili,

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS