"Tunalaani kitendo cha Polisi"-CHADEMA
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Katibu wake mkuu Dkt. Vicent Mashinji kimelaani vikali kitendo cha kutekwa, kupigwa na kujeruhiwa vibaya kwa mgombea wao wa Udiwani Muleba Nelson Makoti na kudai wanakosa imani na Polisi juu ya hilo

