Rais Magufuli afanya uteuzi wa Naibu Waziri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo amemteua Mbunge wa jimbo la Bukombe Mh. Doto Mashaka Biteko kuwa Naibu Waziri Wizara ya Madini. Read more about Rais Magufuli afanya uteuzi wa Naibu Waziri