Simba na Azam FC zampa kigugumizi Msajigwa
Kocha Msaidizi wa klabu ya Yanga, Shadrack Msajigwa ameogopa kuongelea mechi ya watani wao wa jadi Simba dhidi ya Azam FC, kwa kudai wao wanajiangalia wenyewe na wala sio timu nyingine japokuwa lazima uwepo ushindani kwenye ligi.

