Tunamkimbiza Simba kimyakimya Klabu ya soka ya Azam FC imesema imejiandaa vyema kuhakikisha inashinda mchezo wake wa leo dhidi ya Simba ili kuendelea kuikimbiza timu hiyo katika mbio za ubingwa kwakuwa wao ndio vinara. Read more about Tunamkimbiza Simba kimyakimya